Pages - Menu

Monday, October 20, 2014

Yesu Zamani Bethlehemu

Yesu zamani Bethilehemu, aliyezaliwa kwa aibu,
ndiye mwokozi wa ulimwengu, akaja kwa mimi

Akaja kwa mimi; akaja kwa mimi;
ndiye mwokozi wa ulimwengu, akaja kwa mimi

Yesu akafa msalabani, kuniponya akalipa deni,
ni la ajabu ya jinsi gani, kunifia mimi!

Ni yeye huyo tangu asili; na nilipotanga-tanga mbali,
alikuja kwa upole, kweli kuniita mimi

Yesu Kristo atarudi tena, hilo lanifurahisha sana

yeye Bwana akionekana, kunijia mimi.

No comments:

Post a Comment