Pages - Menu

Sunday, January 20, 2019

Anipenda ni Kweli

1.Anipenda ni kweli;
Mungu anena hili;
Sisi wake watoto;
kutulinda si zito.
Yesu anipenda,
Yesu anipenda,
Kweli anipenda,
Mungu amesema.
2.Kwa kupenda akafa
Niokoke na kufa;
Atazidi taka,
Sana ataniweka.
3.Anipenda kabisa;
Niuguapo sasa
Anitunza Mbinguni
Nniliyelala chini.
4.Kunipenda haachi,
Tu sote hapa chini
Baada ya mashaka
Kwake tanipeleka.

No comments:

Post a Comment