Dhambi ikikulemea,
Kwa Bwana rehema;
Hivi sasa tegemea
Neno la salama.
Tegemea, tegemea,
akwita sasa.
Ni Mwokozi,
Ni Mwokozi; amini
sasa.
Yesu amemwaga damu
Ya nyingi baraka;
Nawe sasa oga mumu
Zioshwamo taka.
Ni njia yeye hakika
Hwongoza rahani;
Usikawe kumshika,
Uwe barakani.
Karibu nawe wingie
Mwetu safarini,
Twende tukamwamkie,
Milele Mbinguni.
0 comments:
Post a Comment