Mungu ni pendo apenda watu,
Mungu ni pendo anipenda
Mungu ni pendo anipenda
Sikilizeni furaha
yangu,
Mungu ni pendo, anipenda
Mungu ni pendo, anipenda
Nilipotea katika dhambi,
nikawa mtumwa wa shetani
nikawa mtumwa wa shetani
Akaja Yesu kuniokoa,
Yeye kanipa kuwa huru
Yeye kanipa kuwa huru
Sababu hii namtumikia,
namsifu yeye siku zote.
namsifu yeye siku zote.
0 comments:
Post a Comment