Nina haja nawe, Kila saa;
Hawezi mwingine, kunifaa.
Hawezi mwingine, kunifaa.
Yesu nakuhitaji, Vivyo kila saa!
Niwezeshe Mwokozi, Nakujia
Niwezeshe Mwokozi, Nakujia
Nina haja nawe; Kaa nami,
Na maonjo haya, Hayaumi.
Na maonjo haya, Hayaumi.
Yesu nakuhitaji, Vivyo kila saa!
Niwezeshe Mwokozi, Nakujia.
Niwezeshe Mwokozi, Nakujia.
Nina haja nawe, Kila hali,
Maisha ni bure, Ukiwa mbali.
Maisha ni bure, Ukiwa mbali.
Yesu nakuhitaji, Vivyo kila saa,
Niwezeshe Mwokozi, Nakujia.
Niwezeshe Mwokozi, Nakujia.
Nina haja nawe, Nifundishe,
Na ahadi zako, Zitimize.
Na ahadi zako, Zitimize.
Yesu nakuhitaji, Vivyo kila saa!
Niwezeshe Mwokozi, Nakujia.
Niwezeshe Mwokozi, Nakujia.
Nina haja nawe, Mweza yote,
Ni wako kabisa, Siku zote.
Ni wako kabisa, Siku zote.
Yesu nakuhitaji, Vivyo kila saa!
Niwezeshe Mwokozi, Nakujia.
Niwezeshe Mwokozi, Nakujia.
inspiring
ReplyDeleteuplifting
ReplyDeleteuplifting
ReplyDeleteInabariki
ReplyDeleteWonderful spiring worship
ReplyDeleteuplifting
ReplyDeleteCan I get the luo version kindly
ReplyDelete