Yesu zamani
Bethilehemu, aliyezaliwa kwa aibu,
ndiye mwokozi
wa ulimwengu, akaja kwa mimi
Akaja kwa mimi; akaja kwa mimi;
ndiye mwokozi wa ulimwengu, akaja kwa mimi
Yesu akafa
msalabani, kuniponya akalipa deni,
ni la ajabu
ya jinsi gani, kunifia mimi!
Ni yeye huyo
tangu asili; na nilipotanga-tanga mbali,
alikuja kwa
upole, kweli kuniita mimi
Yesu Kristo
atarudi tena, hilo lanifurahisha sana
yeye Bwana
akionekana, kunijia mimi.
0 comments:
Post a Comment