Ni ujumbe wa Bwana haleluya, wa maisha ya daima,
Amenena mwenyewe haleluya, utaishi ukitazama
Amenena mwenyewe haleluya, utaishi ukitazama
Tazama, ishi sasa,
kumtazama Yesu,
Amenena mwenyewe, haleluya! utaishi ukitazama
Amenena mwenyewe, haleluya! utaishi ukitazama
Uzima wa daima haleluya , kwake Yesu utauona,
Ukimtazama tu haleluya, wokovu u peke kwa Bwana
Ukimtazama tu haleluya, wokovu u peke kwa Bwana
Ni ujumbe wa Bwana haleluya, nawe shika rafiki yangu,
Ni habari ya raha haleluya, mwenye kuinena ni Mungu.
Ni habari ya raha haleluya, mwenye kuinena ni Mungu.
0 comments:
Post a Comment