1.Anipenda ni kweli;
Mungu anena hili;
Sisi wake watoto;
kutulinda si zito.
Mungu anena hili;
Sisi wake watoto;
kutulinda si zito.
Yesu anipenda,
Yesu anipenda,
Kweli anipenda,
Mungu amesema.
Yesu anipenda,
Kweli anipenda,
Mungu amesema.
2.Kwa kupenda akafa
Niokoke na kufa;
Atazidi taka,
Sana ataniweka.
Niokoke na kufa;
Atazidi taka,
Sana ataniweka.
3.Anipenda kabisa;
Niuguapo sasa
Anitunza Mbinguni
Nniliyelala chini.
Niuguapo sasa
Anitunza Mbinguni
Nniliyelala chini.
4.Kunipenda haachi,
Tu sote hapa chini
Baada ya mashaka
Kwake tanipeleka.
Tu sote hapa chini
Baada ya mashaka
Kwake tanipeleka.
0 comments:
Post a Comment